Tanzania

Serikali yaeleza kipaumbele kuimarisha utumishi wa umma

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala,Ridhiwani Kikwete amesema Chuo cha…

Soma Zaidi »

Chande ashiriki mkutano 69 Shirika la Utalii Duniani Afrika

NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Chande (Mb.) ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 69 wa Shirika la…

Soma Zaidi »

Viongozi wa dini watakiwa kuhimiza amani

VIONGOZI wa dini nchini wametakiwa kuendelea kuimarisha uhusiano kati ya Serikali na wananchi kwa kuhamasisha umuhimu wa kudumisha amani, utulivu…

Soma Zaidi »

Cheti cha heshima

MBEYA: Rasi wa Chuo Kikuu Mzumbe Ndaki ya Mbeya, Prof. Henry Mollel akimkabidhi cheti cha shukrani Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo…

Soma Zaidi »

Wazee walalamika kubebeshwa mzigo wa malezi ya wajukuu Geita

GEITA: BARAZA la Wazee Halmashauri ya Manispaa ya Geita limelalamikia kukithiri kwa kasumba ya vijana kuzaa watoto na kisha kuwatelekeza…

Soma Zaidi »

Serikali yakabidhiwa mradi wa maji wa mil 465/- Handeni

TANGA: SERIKALI imepokea mradi wa usambazaji wa maji katika mtandao wa bomba wa Kwamaizi, uliotekelezwa katika Kata ya Kideleko, Halmashauri…

Soma Zaidi »

TPSF yazungumzia tozo miundombinu ya bandari

DAR ES SALAAM: Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) limesema Tozo ya Maendeleo ya Miundombinu ya Bandari (PID Levy) iliyoanza…

Soma Zaidi »

Pawaga yageuka kitovu cha uchumi, viwanda vyafungua fursa

PAWAGA, iliyokuwa ikitajwa zaidi kama eneo la uzalishaji wa mpunga pekee, sasa imeanza kujijengea sifa mpya ya kuwa kitovu cha…

Soma Zaidi »

Rais Chapo awasili Tanzania

RAIS wa Jamhuri ya Msumbiji, Daniel Francisco Chapo, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Julai 2…

Soma Zaidi »

Tanzania mwenyeji COP12

SERIKALI imezitaka Wizara, Taasisi za Umma, Sekta Binafsi, Watafiti na Mashirika ya Kiraia kuchangamkia fursa ya Tanzania kuwa mwenyeji wa…

Soma Zaidi »
Back to top button