Tanzania

Teknolojia za TARI zavutia wakulima Nanenane Iringa

IRINGA: Wakulima waliojitokeza katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika kwa mara ya kwanza mkoani Iringa wameendelea kuvutiwa na teknolojia bunifu zinazowasilishwa…

Soma Zaidi »

Nanenane iringa kufungua fursa za teknolojia, masoko

IRINGA: Wananchi wa Mkoa wa Iringa wamehimizwa kujitokeza kwa wingi kutembelea Maonesho ya Nanenane yanayofanyika katika Viwanja vya Utalii Kihesa,…

Soma Zaidi »

Kadogoo aiomba Serikali kutatua kero ya tembo Mswakini

ARUSHA: Mbunge wa Jimbo la Monduli, Aisack Joseph maarufu ‘Kadogoo’ amemuomba Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Ashatu Kijaji kuingalia…

Soma Zaidi »

Oryx, Skauti waweka nguvu elimu nishati safi

DAR ES SALAAM: KAMPUNI ya Oryx Tanzania imezindua kitabu cha Mwongozo wa Matumizi Salama ya Gesi ya LPG  na kusaini…

Soma Zaidi »

‘Simameni mikataba ya kiuchumi kwa maslahi ya taifa’

ARUSHA: Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, amewataka Mawakili wa Serikali kuimarisha uwezo wao katika usimamizi wa mikataba mikubwa ya…

Soma Zaidi »

DC Kubecha amaliza mgogoro Ikwimba

GAIRO: Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Japhari Kubecha, ametatua changamoto ya muda mrefu iliyokuwa kati ya Serikali ya Kijiji cha…

Soma Zaidi »

Serikali yataka wanahabari kuhamasisha nishati safi ya kupikia

MOROGORO — Serikali imevitaka vyombo vya habari kutumia nafasi yao kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kusaidia kufikia…

Soma Zaidi »

CCM Geita yataka weledi matumizi ya dawa, vifaa tiba

GEITA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Geita kimewataka watumishi katika sekta ya afya kuzingatia weledi katika matumizi sahihi ya dawa…

Soma Zaidi »

Sh bilioni 1 kuboresha vituo vya kulea wazee

KIGOMA: SERIKALI inatarajia kutumia Sh bilioni 1 kuboresha miundombinu ya vituo vya kulea wazee nchini ili kuwawezesha kuishi katika mazingira…

Soma Zaidi »

Ngajilo ataka wenye ulemavu wasifichwe suala la elimu

IRINGA; Watoto wenye maisha duni wanaosoma katika shule za msingi mjini Iringa wamepata faraja baada ya Mbunge wa Jimbo la…

Soma Zaidi »
Back to top button