Tanzania

“Miradi ya kimkakati Kinondoni ipewe kipaumbele”

DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameielekeza Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kuachana na…

Soma Zaidi »

Rais wa Msumbiji kuwasili leo Dar

DAR ES SALAAM:Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Daniel Francisco Chapo, anatarajiwa kuwasili nchini leo jioni kwa ziara ya kikazi. Akiwa…

Soma Zaidi »

Mhadhiri azungumzia uzoefu wa Kafulila

MBEYA: Mhadhara wa umma unaofanyika katika Chuo Kikuu Mzumbe, Ndaki ya Mbeya umehudhuriwa na wataalamu na wanazuoni mbalimbali. Mhadhiri wa…

Soma Zaidi »

Mradi njia ya umeme Chalinze-Dodoma wafikia 89%

PWANI: Mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa kilovoti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma wenye urefu…

Soma Zaidi »

Spika: Nchi haiwezi kujengwa kwa maandamano

DAR ES SALAAM; Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, amesema nchi haiwezi kujengwa kwa maandamano na kwamba amani ni…

Soma Zaidi »

Vikundi 28 Iringa Mjini vyalamba Sh milioni 402

IRINGA: Ndoto za mamia ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu katika Manispaa ya Iringa za kujikwamua kiuchumi zimeendelea kupata…

Soma Zaidi »

RC Mtwara: Mtwara iko salama

MTWARA: MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Donald Msengi amewahakikishia wananchi mkoani humo kuwa hali ya usalama kwenye mkoa huo…

Soma Zaidi »

Serikali kuharakisha utekelezaji miradi ya maendeleo

MARA: WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeweka mkakati wa kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo nchini ili kuhakikisha…

Soma Zaidi »

Maadhimisho miaka 100 chimbuko la Bunge yaja

DAR ES SALAAM; BUNGE la Tanzania linatarajia kufanya maadhimisho ya miaka 100 ya chimbuko la bunge hilo. Kauli hiyo imetolewa…

Soma Zaidi »

Wanufaika mikopo ya 10% watakiwa kurejesha kwa wakati

KILIMANJARO: MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amewataka wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri ya Manispaa…

Soma Zaidi »
Back to top button