Tanzania

Miradi ya Sh bilioni 23.6 yafungua fursa Mufindi

IRINGA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) imeendelea kuthibitisha utekelezaji wa ahadi zake kwa vitendo baada ya Kamati ya Siasa ya Chama…

Soma Zaidi »

Rais Mwinyi awakaribisha Sweden kuwekeza Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameishukuru Serikali ya Sweden kwa ushirikiano wake…

Soma Zaidi »

Mkakati maalumu kudhibiti bidhaa za magendo

TANGA: Ili kudhibiti uingizwaji wa bidhaa za magendo katika mpaka wa Horohoro, Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga, Serikali imetangaza operesheni…

Soma Zaidi »

Gwajima ataka NGOs kushirikiana na Serikali utekelezaji Dira 2050

DODOMA: Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima, amezitaka asasi zisizo ya kiserikali (NGOs)…

Soma Zaidi »

CUF: Misingi ya Waasisi Ilindwe

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimewataka Watanzania kuendelea kujifunza kutoka kwa waasisi wa taifa katika kulinda amani, umoja na mshikamano, kikisema…

Soma Zaidi »

Ulega atoa maagizo ujenzi barabara Bigwa -Kisaki

MOROGORO: WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amemuagiza mkandarasi anayetekeleza ujenzi wa barabara ya Bigwa–Kisaki (km 78) kuhakikisha anafanya matengenezo ya…

Soma Zaidi »

Jifunze Kiswahili

Proverb: Usipoziba ufa, utajenga ukuta. Meaning This proverb means that if you do not solve a small problem early, it…

Soma Zaidi »

CCM yaridhishwa na miradi ya elimu Kilolo

IRINGA: Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa imeridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Shule Mpya…

Soma Zaidi »

Mbunge aongeza nguvu ujenzi wa nyumba ya watumishi

IRINGA: Ndoto ya kumalizika kwa ujenzi wa nyumba ya watumishi katika Kijiji cha Magunga, Kata ya Maboga, Jimbo la Kalenga…

Soma Zaidi »

Programu za ualimu wa amali kukabili uhaba wa walimu

MOROGORO: Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimezindua programu mpya za Shahada ya Sayansi ya Ualimu katika mkondo wa…

Soma Zaidi »
Back to top button