Tanzania

Kampuni yashinda tuzo Tehama

DAR ES SALAAM: Kampuni ya Mainstream Group Limited imeshinda tuzo mbili katika Tuzo za Tehama Awards 2026, ikiwemo nafasi ya…

Soma Zaidi »

Wanafunzi Tanzania watimkia India masomoni

DAR ES SALAAM: Mamia ya wanafunzi  wanatarajia kwenda masomoni kwenye vyuo vikuu mbalimbali nchini India kuanzia wiki ijayo kupitia Wakala…

Soma Zaidi »

Helios Towers yaipiga ‘jeki’ maabara shule ya umma Bukoba

BUKOBA, KAGERA: Kampuni ya Helios Towers imezindua rasmi maabara ya kisasa ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika Shule…

Soma Zaidi »

Miaka 15 ya mgogoro wa ardhi, serikali yaingilia kati

ARUSHA: Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Kaspar Mmuya, amewataka wananchi wa Monduli na Simanjiro kufafanua kwa…

Soma Zaidi »

Serikali yapongeza elimu ya vipimo kwa watoto

DODOMA: NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Denis Londo, amepongeza Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) kwa mpango wake wa kuwajengea…

Soma Zaidi »

Dk Kijaji akagua ujenzi wa soko Muleba

KAGERA: Waziri wa Maliasili na Utalii ameendelea na ziara katika Wilaya ya Muleba ambapo ametembelea mradi wa ujenzi wa soko…

Soma Zaidi »

Serikali yalenga kupunguza gharama uzalishaji

DODOMA: WIZARA ya Viwanda na Biashara imeeleza kuwa inaendelea kutengeneza mazingira rafiki kwa wakulima, wafugaji na wavuvi ili kupunguza gharama…

Soma Zaidi »

WRRB yageukia zao la parachichi

DODOMA: BODI ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza mazungumzo na wazalishaji wa parachichi katika wilaya za Mufindi na…

Soma Zaidi »

Polisi yachunguza sanduku lililozua taharuki stendi ya daladala

DAR ES SALAAM: Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linaendelea na uchunguzi wa tukio la kuonekana kwa…

Soma Zaidi »

Sekta binafsi ni chachu ajira kwa vijana – Mzava

Mkuu wa Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro ,Godfrey Mzava, amesema serikali itaendelea kutengeneza mazingira bora ya ufanyaji wa shughuli za…

Soma Zaidi »
Back to top button