Tanzania

Sekta binafsi ni chachu ajira kwa vijana – Mzava

Mkuu wa Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro ,Godfrey Mzava, amesema serikali itaendelea kutengeneza mazingira bora ya ufanyaji wa shughuli za…

Soma Zaidi »

Kijaji aagiza TANAPA kujenga kituo udhibiti tembo

KAGERA: Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Ashatu Kijaji, ameiagiza Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kutenga fedha kwa…

Soma Zaidi »

Dk Kijaji atembelea shule, asikiliza kero za wananchi

KAGERA: WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Ashatu Kijaji ameweka Jiwe la Msingi katika Shule ya Msingi Kihumulo iliyogharimu Sh…

Soma Zaidi »

Jifunze Kiswahili

Asiyefunzwa na mamae hufunzwa na ulimwengu How to use it in a sentenceA young man ignored his parents’ advice, got…

Soma Zaidi »

Museveni aanza ziara Tanzania

RAIS wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, amewasili jijini Dar es Salaam kwa ziara rasmi ya siku mbili kuanzia Agosti 5…

Soma Zaidi »

Polisi Pwani yawabaini wanafunzi wasioripoti shuleni

PWANI: JESHI la Polisi Mkoani Pwani limemebaini baadhi ya wanafunzi walioshindwa kuripoti shuleni kunatokana na changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja…

Soma Zaidi »

Serikali yataka mikataba bora ya kazi

SERIKALI imevitaka vyama vya wafanyakazi nchini kuimarisha demokrasia ya ndani, kuongeza kasi ya kufunga mikataba ya hali bora za kazi…

Soma Zaidi »

Victoria Group Fun Run kufanyika Agosti 8

BAADA ya zaidi ya miaka 26 ya kujenga urafiki, kusaidiana na kuwekeza pamoja, Victoria Group (VG) sasa imehamishia nguvu zake…

Soma Zaidi »

JKT kuendeleza shamba darasa baada ya Nanenane 2026

DODOMA: JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limesema litaendelea kuwa shamba darasa la kilimo, mifugo na uvuvi hata baada ya kufungwa…

Soma Zaidi »

Uhifadhi wa historia kuendelezwa Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesisitiza umuhimu wa kuendelea kuimarisha ushirikiano kati…

Soma Zaidi »
Back to top button