Tanzania

Wafungwa Mbeya waomba kurasimishiwa ujuzi wao

MBEYA: Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), kupitia Chuo cha VETA Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na…

Soma Zaidi »

‘Hakuja ujuzi bila mwalimu’

SONGEA: Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Carolyne Naomba, amesema hakuna taaluma inayoweza kujengwa bila msaada…

Soma Zaidi »

Programu ya ‘Kopa Ng’ombe, Lipa Maziwa’ kuwaokoa wafugaji Kagera

KAGERA: Maelfu ya wafugaji katika mikoa ya Kagera wanatarajiwa kunufaika na programu ya iMbeju Kilimo Kopa Ng’ombe, Lipa Maziwa, inayolenga…

Soma Zaidi »

AFDP yawainua wavuvi na wafanyabiashara Kipumbwi

PANGANI, TANGA: Wananchi wa Kata ya Kipumbwi, Wilaya ya Pangani mkoani Tanga, wameeleza kunufaika na Programu ya Kuendeleza Kilimo na…

Soma Zaidi »

Watanzania wapata nafasi mpya TPSC

DAR ES SALAAM: Watanzania wanaotaka kuongeza elimu na kujenga taaluma wamepata fursa mpya baada ya Chuo cha Utumishi wa Umma…

Soma Zaidi »

Polisi wanawake Njombe watakiwa kutoa elimu ukatili

NJOMBE: MAOFISA, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali wanawake mkoani Njombe wametakiwa kwenda kwa wananchi katika maeneo yao na kutoa…

Soma Zaidi »

PSSSF, TBN kuimarisha elimu kwa umma

DAR ES SALAAM: Timu ya maofisa wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) imefanya ziara katika…

Soma Zaidi »

Wananchi waomba ujenzi nyumba ya mganga mfawidhi Mnyahi

MTWARA: WAKAZI wa Kata ya Milango Minne iliyopo Halmashauri ya Mji Nanyamba wameiomba serikali kuwasaidia nyumba ya mganga mfawidhi wa…

Soma Zaidi »

Fahamu miaka 90 ya mwanahabari Edgar Snow

BEIJING: Miaka 90 baada ya mwanahabari na mwandishi wa Marekani, Edgar Snow, kuandika kuhusu harakati za Chama cha Kikomunisti cha…

Soma Zaidi »

Bandari Dar yahudumia tani milioni 33.7 za mizigo

DAR ES SALAAM: Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema Bandari ya Dar es Salaam imeendelea kuongeza uwezo wa…

Soma Zaidi »
Back to top button