Tanzania

Wanafunzi, wazazi wanufaika na ushauri wa elimu kimataifa

MWANZA: WAZAZI, walezi na wanafunzi katika maeneo mbalimbali nchini wameanza kupata mwanga zaidi kuhusu fursa za elimu ya juu nje…

Soma Zaidi »

Benki yatumia parokia kama mawakala wa kimkakati

MAWAKALA 28 kati ya 1,957 wa Benki ya Biashara ya Mkombozi ni mawakala wa kimkakati waliopo katika maeneo maalumu ya…

Soma Zaidi »

Kihenzile: Nauli za ndege ziendane na hali halisi ya maisha

DAR ES SALAAM: SERIKALI imeiagiza Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) kuhakikisha inapanga gharama za usafiri wa anga kwa…

Soma Zaidi »

wajasiriamali Tamasha la Samaki wapewa raha nishati safi

PWANI: KAMPUNI ya Oryx Gas imekabidhi mitungi ya gesi ya kupikia 600 kwa makundi mbalimbali ya wajasiriamali wakimo mama lishe…

Soma Zaidi »

Waandishi wa habari watakiwa kujiunga NSSF

DAR ES SALAAM: Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhokya, aliyewakilishwa na Dk James Kalanje, amewataka…

Soma Zaidi »

TISEZA yafuatilia maendeleo mradi wa kahawa Mbeya

MBEYA: Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) imetembelea mradi wa uzalishaji wa kahawa wa Utengule Coffee…

Soma Zaidi »

Msalala yakusanya zaidi ya bil 9/- yavuka lengo

KAHAMA: Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala, wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Rose Manumba, amesema halmashauri hiyo imekusanya zaidi ya…

Soma Zaidi »

Mwinyi azindua mabasi ya umeme

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amezindua  huduma za usafiri wa umma kwa kutumia…

Soma Zaidi »

Jifunze Kiswahili

Proverb: Samaki mkunje angali mbichi. Literal meaning: “Bend a fish while it is still fresh (soft).” Meaning: This proverb teaches…

Soma Zaidi »

Maridhiano, amani ni msingi wa maendeleo

MCHAMBUZI wa masuala ya siasa, maridhiano na amani ambaye pia ni Mkurugenzi wa Taasisi ya AFREDA ya Kijamii na Uchumi,…

Soma Zaidi »
Back to top button