Utalii

‘TTB tumieni AFCON 2027 kuongeza watalii’

DAR ES SALAAM: ILI kuhakikisha idadi ya watalii inaongezeka nchini na kufikia milioni nane kwa miaka mitano, Bodi ya Utalii…

Soma Zaidi »

Dk. Kijaji aagiza ukarabati wa Hoteli Mikumi

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji, amefanya ukaguzi wa ukarabati mkubwa unaoendelea katika Hoteli ya Mikumi ndani ya…

Soma Zaidi »

Waziri Kijaji aitaka Tanapa kuongeza ubunifu

MOROGORO: WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji ameagiza Uongozi wa Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kuongeza ubunifu wa…

Soma Zaidi »

Msitu wa Ngezi; thamani itakayoipaisha Pemba

PEMBA ni moja ya visiwa vikongwe vya Zanzibar kinachoishi chini ya kivuli cha kisiwa dada chenye harakati nyingi cha Unguja.…

Soma Zaidi »

Tanapa yaita wawekezaji Hifadhi ya Taifa ya Nyerere

BODI ya Wadhamini wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) imeendelea kuhamasisha na kuwakaribisha wawekezaji kuja kuwekeza katika Hifadhi…

Soma Zaidi »

Wadau wa utalii wahamasishwa kuwania tuzo za Serengeti

WADAU wa uhifadhi na utalii katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wamehamasishwa kushiriki katika tuzo za uhifadhi na utalii…

Soma Zaidi »

Tanzania yajumuika mjadala wa AI duniani

RIYADH: Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk Hassan Abbasi akifuatilia mjadala wa matumizi ya akili mnemba (Artificial Inteligence)…

Soma Zaidi »

Tanzania Ni Nchi Salama kwa Utalii

SERIKALI imesema hali ya utalii na amani viko imara nchini Tanzania. Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk Hassan…

Soma Zaidi »

Mawakala 120 Marekani wavutiwa utalii Tanzania

MARA: Mawakala wa utalii 120 kutoka nchini Marekani wameonyesha kuvutiwa na vivutio mbalimbali vya utalii vilivyopo nchini Tanzania, hususan mandhari…

Soma Zaidi »

Tanzania yaihakikishia dunia usalama wa watalii

DODOMA: Wizara ya Maliasili na Utalii imeutaarifu umma kuwa wageni na wadau wa Sekta ya Utalii ndani na nje ya…

Soma Zaidi »
Back to top button