Dk Tulia Rais mpya Umoja wa Mabunge Duniani

ANGOLA; Spika wa Bunge la Tanzania Dk Tulia Ackson ameshinda kwa kishindo kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) uchaguzi uliofanyika leo nchini Angola.
Katika uchaguzi huo Dk Tulia amepata kura 172, wakati mpinzani wake wa karibu Catherine Gotani Hara wa Malawi alipata 61, Adji Diarra Kanouté wa Senegal alipata kura 59 na Marwa Abdibashir Hagi wa Somalia alipata kura11.
Dk Tulia anakuwa mwanamke wa kwanza kuongoza bunge hilo lenye nchi wanachama 179 na wabunge 705 wanaoziwakilisha nchi zao, akichukua nafasi ya Duarte Pacheco Spika wa Bunge la Ureno, ambaye alichaguliwa mwaka 2020. Pacheco amemaliza muda wake.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
1 Comment
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
ShelleDukes
ShelleDukes
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by ShelleDukes
Back to top button
1
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x