FCC yatakiwa kudhibiti bidhaa feki

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, ameihimiza Tume ya Ushindani (FCC) kuongeza ufanisi katika kudhibiti bidhaa feki na kuimarisha utendaji ili kukidhi matarajio ya Watanzania.
Akizungumza jijini Dar es Salaam alipotembelea makao makuu ya tume hiyo, Waziri Kapinga amesema ni muhimu FCC kuwa na mifumo thabiti ya ufuatiliaji na usimamizi wa bidhaa zinazoingia sokoni.
Amesema sekta ya biashara ina mchango mkubwa katika kukuza uchumi, kuongeza ushindani na kupanua mapato ya nje ya nchi, hivyo juhudi za kukomesha bidhaa feki zinapaswa kupewa kipaumbele ili kulinda maslahi ya wananchi na uchumi wa Taifa.
Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa FCC, Khadija Ngasongwa, ameahidi kutekeleza maelekezo ya serikali na kuboresha mifumo ya usimamizi wa bidhaa zinazoingizwa nchini. Amesema kuanzia Desemba 1, FCC itaanza kurekodi taarifa za wasafirishaji wa bidhaa zote ili kurahisisha ukaguzi na udhibiti wa bidhaa zisizokidhi viwango.
FCC imeahidi kuendelea kushirikiana na sekta binafsi na mamlaka husika ili kuhakikisha bidhaa zinazoingia sokoni ni salama, zenye ubora na zinazingatia viwango vya kitaifa. SOMA: Takukuru yabaini risiti feki za EFD Shinyanga




How can we Transform “Dreams to diseases and Death” – I have something to say about you (you will get through dreams especially Gay Activities if your a real MAN,
JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
.
This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com
How can we Transform “Dreams to diseases and Death” – I have something to say about you (you will get through dreams especially Gay Activities if your a real MAN,