‘Hakuna misaada tukusanye kodi’

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itaendelea kushirikiana na sekta binafsi ili kuharakisha ukuaji wa uchumi wa nchi.
Ameeleza kuwa kutokana na kupungua kwa misaada kutoka nje, ni muhimu kuongeza juhudi za ukusanyaji wa kodi ili kusaidia maendeleo ya taifa. Pia amesema Serikali inapanga kurekebisha sheria ya Public Private Partnership (PPP) ili kuboresha ushirikiano na sekta binafsi katika miradi mikubwa.

Aidha, ametoa wito kwa taasisi za serikali, sekta binafsi, wafanyabiashara, wawekezaji na wananchi kwa ujumla kushirikiana katika ulipaji wa kodi ili kufikia malengo ya Dira ya Maendeleo 2050. SOMA: Serikali kupitia mapenddekezo 284 ya kodi




JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 12000-16700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
.
This is my main concern…………………… http://Www.Cash54.Com
I just came across this amazing way to earn $11,000-$15,000 a month online! No selling, no struggle—just a simple system that anyone can follow. Mia Westbrook did it, and so can you! Don’t miss out on this life-changing opportunity.
.
This is what I do…………………… http://Www.Payathome9.Com