Hapa ndipo alipozikwa Papa Francis

ROME : KABURI la Papa Francis limeanza kuonyeshwa kwa umma  katika kanisa la Santa Maria Maggiore mjini Rome.

Papa Francis alizikwa siku ya jumamosi katika kanisa hilo ikiwa ni mojawapo ya makanisa makubwa manne ambayo  aliyapendelea kuyatembelea katika mji mkuu wa Italia.

Maelfu ya waombolezaji wamekuwa wakitembelea kaburi lake tangu kanisa hilo kufunguliwa kwa umma Jumapili asubuhi ili kutoa heshima zao kwa Papa Francis, aliyefariki akiwa na umri wa miaka 88 siku ya Jumatatu ya Pasaka.

SOMA: PAPA FRANCIS; Taa ya unyenyekevu, amani ‘iliyozimika’

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button