Hatua zaanza ujenzi bandari Mtwara

SERIKALI ipo mbioni kuanza ujenzi wa bandari nyingine katika mkoani Mtwara katika eneo la Kisiwa Mgao ambapo kwa sasa hatua za manunuzi zimeanza.
Akizungumza na mkoani Mtwara wakati wa ziara yake ya kukagua utendaji kazi wa bandari ya Mtwara Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile amesema, bandari hiyo mpya itakuwa ni maalumu kwa ajili ya usafirishaji bidhaa zijulikanazo kama ‘bidhaa chafu’ ambazo ni k makaa ya mawe na saruji.
Amesema Wizara ya Uchukuzi inaendelea kuweka mikakati ya namna ya kuimarisha Bandari ya Mtwara ili kuhakikisha bidhaa nyingine pia zinasafirishwa kwa wingi.
Aidha, Kihenzile pia, ametembelea na kukagua utendaji kazi wa bandari ya Mtwara na uwanja wa ndege wa Mtwara.
Microsoft Excel
Earn money in USA, high scores from trusted resources. Work at your own pace. Regular Payments. Search in different job categories. Work anywhere on your vs03 computer, laptop or mobile phone. Update your profile at any time.
.
.
Detail Here———->>> http://Www.Smartcash1.com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website
COPY HERE →→ http://Www.Smartwork1.com
Microsoft Excel..
MDOMO WA MWANAMKE NJE YA PWANI