Haya hapa matokeo kidato cha sita

BARAZA la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka 2023.

Akitangaza matokeo hayo leo Julai 12, 2023 katika ofisi za Baraza hilo Zanzibar, Katibu Mtendaji wa Necta Dk Said Mohamed amesema jumla ya watahiniwa waliosajiliwa kufanya mtihani ni 106, 883 huku wasichana wakiwa ni 47, 340 na wavulana 59, 543.

“Jumla ya watahiniwa 104,549 sawa na asilimia 99.23 ya watahiniwa waliofanya mtihani wa kidato cha sita 2023 wamefaulu.” amesema.

Wasichana waliofaulu ni 46,707 sawa na asilimia 99.51 huku kwa upande wa wavulana, waliofaulu ni 57, 843 sawa na asilimia 99.

MATOKEO BONYEZA HAPA>>>>> https://matokeo.necta.go.tz/results/2023/dsee/index.htm

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Doreen T. Wood
Doreen T. Wood
2 months ago

I have even managed $20880 merely calendar month by simply working some easy tasks from my apartment. As I had lost my office career, I was very disturbed but luckily I’ve discovered this best on-line career that’s why I’m capable to own thousand USD just from home. Each person can avail this best offer & collect more greenbacks online checking this 
.
.
.
web___ https://fastinccome.blogspot.com/

sajoban334
sajoban334
2 months ago

I’ve worked online c2 and been a full-time student this year, earning 64,000 USD so far. I recently discovered an opportunity for an online business, and I’ve been exploiting it sv04 ever since. It’s quite user-friendly, and I’m just glad I just found out about it now. Detail Are Here———————————————————>> http://www.dailypro7.com

Kim
Kim
2 months ago

Work for 2-3 hours in your spare time and get paid $1000 on your bank account every Make everyone ( £26,000 __ £38,000 ) A Month Online Making nb money online more than £20k just by doing simple work With No Prior Experience Or Skills Required. Be Your Own Boss And for more info visit any tab this site… 
. . . .
Open this link. . . . . . . . .>>>  http://www.Richcash1.com

Last edited 2 months ago by Kim
Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x