HT: Simba SC mambo magumu

HALI inazidi kuwa mbaya kwa upande wa Simba SC, mpaka sasa mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Namungo FC umeenda mapumziko Simba SC ikiwa nyuma bao 1-0.
Bao la Namungo limefungwa na Reliants Lusajo dakika ya 29.
Tuendelee kuwa pamoja.