Ibungiro yatinga nusu fainali Angeline Jimbo Cup

KATA ya Ibungiro imefanikiwa kuingia hatua ya nusu fainali baada ya kuifunga kata ya Ilemela bao 1-0 katika mchezo wa robo fainali wa mashindano ya Angeline Jimbo 2023 uliochezwa leo katika uwanja wa shule ya msingi ya Sabasaba wilayani Ilemela mkoani Mwanza.
Bao pekee la mchezo huo lilifungwa na Moses Peter katika dakika ya 13.Mchezo mwingine utakaochezwa kesho itakuwa kati ya kata ya Sangabuye dhidi ya Nyakato.
Septemba 6 kata ya Kirumba itacheza dhidi ya Nyasaka huku mchezo wa mwisho wa robo fainali utachezwa Septemba 7 kati ya Shibula itacheza dhidi ya Mecco.
Naye katibu wa mbunge wa jimbo la Ilemela, Charles David amewaomba wakazi wa manisapaa ya Ilemela wajitokeze kwa wingi katika michezo ya robo fainali inayoendelea katika uwanja wa shule ya msingi Saba.
Katibu mkuu wa chama cha soka Wilaya ya Ilemela (IDFA) Almas Moshi amesema timu zitakazofuzu hatua ya nusu fainali zitapewa jezi.
I am making $162/hour telecommuting. I never imagined that it was honest to goodness yet my closest companion is earning $21,000 a month by working on the web, that was truly shocking for me, she prescribed me to attempt it simply.
.
.
Detail Here——————————————————————>>> http://Www.BizWork1.Com
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://earncash82.blogspot.com/
My last month paycheck was for 11000 dollars… All i did was simple online work from comfort at home for 3-4 hours/day that I got from this agency I discovered over the internet and they paid me for it 95 bucks every hour…..>
.
.
Detail Here——————————>>>
https://www.pay.salary49.com
Hela za kujenga ofisi za serikali zimepungua kwa asilimia 100, manager lini tutasini vifone
Job application
Job Applications
Job applications
Job application
Usije dhani umejenga miji/Majiji Tanzania!? “TANZANIA YOTE NI VICHAKA TU HAKUNA NYUMBA HATA MOJA KAMA JANGWA LA SAHARA”