JKT Tanzania: Tuliwataka leo tumewapata

Wachezaji wa JKT Tanzania wakifanya mazoezi.

KLABU ya Simba leo inaikaribisha JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania kwenye uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam.

Kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram JKT Tanzania imeandika; “Hatimaye siku ya kuwachapa kichapo cha kizalendo Simba imefika. Tunaomba mamlaka na taasisi zote zisiingilie huu ugomvi wetu. TUNAWEZANA💪 SISI HAWA TULIKUWA TUWATAKA SANA LEO TUMEWAPATA.”

Advertisement