JKT Tanzania: Tuliwataka leo tumewapata
KLABU ya Simba leo inaikaribisha JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania kwenye uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam.
Kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram JKT Tanzania imeandika; “Hatimaye siku ya kuwachapa kichapo cha kizalendo Simba imefika. Tunaomba mamlaka na taasisi zote zisiingilie huu ugomvi wetu. TUNAWEZANAπͺ SISI HAWA TULIKUWA TUWATAKA SANA LEO TUMEWAPATA.”



