Kajala: Mungu amejibu maombi

DAR ES SALAAM: Mrembo kutoka tasnia ya filamu nchini Frida Kajala ameeleza kuwa anamshukuru Mungu kwa kujibu maombi yake alimuomba apate mchumba na amepata.
Akizungumza na habari leo jijini Dar es Salaam, Kajala amesema alimuomba sana Mungu apate mchumba ambaye siyo maarufu na Mwenyezi Mungu amejibu maombi yake hivyo anajihisi mtu mwenye furaha na amani katika maisha yake.
“Kwenye maombi yangu nilimuomba Mungu anijalie mchumba ambaye sio maarufu na mcha Mungu nimempata japo wengi wanatamani kumfahamu mtamfahamu.”amesema Kajala.
Ikumbukwe Msanii huyo kipindi kilichopita alikuwa kwenye mahusiano na Star wa Muziki wa Bongofleva Rajabu Abdukahari ‘Harmonize’ kabla ya wawili hao kuachana na sasa Kajala anaweka wazi kuwa tayari yupo kwenye mahusiano mapya.
★ Just start making over $600 a day from your timeshare home. ( t77q) I made $18,781 from this job in my spare time after college. easy work and his steady income is amazing. No skills are required for this job. All you need to know is how to copy and paste items online. Sign up today by following the details on this page.
Click and Copy Here══════►►► http://Www.SmartCareer1.com
Make money just by working online. Work from home at your convenience. You may earn over $600 a day online by working only five hours a day. I earned $18,000 from this past month during my free time.
.
.
Detail Here——————————————————————->>> http://Www.BizWork1.Com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com