Katambi aonya wanaochafua nchi

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi ameonya watu wanaotumika kuichafua nchi. Katambi amesema hayo kwenye mkutano wa hadhara aliouandaa kushukuru wananchi kumpa ridhaa ya kuwa mbunge wa Shinyanga Mjini.
Amesema Tanzania itaendelea kuwa na amani na utulivu na watu wasione raha kuchukua nakala au picha za mjongeo ambazo zina viashiria vya uvunjifu wa amani na kuendelea kufurahia kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii na kuhatarisha usalama wa nchi.
Katambi amesema amani ikivurugika kuirudisha ni kazi, hivyo wananchi waendelee kuishi kwa amani na upendo bila ubaguzi. Pia amesema watumishi wa serikali ambao hawatekelezi maagizo ya serikali mwisho wake umefika kwani fedha zimekuwa zikitolewa na serikali kwa ajili ya utekelezaji miradi mbalimbali lakini wanachelewesha kwa uzembe wao.
Katambi amesema wananchi wa mjini Shinyanga wameendelea kumuamini hivyo atahakikisha maendeleo yanapatikana kwa kuwa serikali imetoa zaidi ya Sh bilioni 45 kwa ajili ya ujenzi wa kiwanja cha ndege cha Ibadakuli. SOMA: Vikosi vya ulinzi vyajizatiti kulinda amani nchini
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga, Janeti Magomi amesema hali ya ulinzi na usalama mkoani humo ni shwari. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga, Mabala Mlolwa amesema wana imani kwa serikali. Alimuomba waziri Katambi vitambulisho vya taifa (NIDA) vifikishwe kwenye kata ili kuwaondolea wananchi usumbufu.




I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website…
HERE→→→→→→→→→→→ http://Www.Work27.Info
I get paid over (90$ to 200$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $18000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
.
HERE——————————————⊃⫸ https://Www.Cash54.Com
I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website…
.
More Details For Us→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com
Start now generating extra home based cash by doing very easy and simple job from home. Last month i have earned $19753 from this job in my part time. This job is just awesome and its earning are greater than 9 to 5 office job. Join this right now by follow instructions here…
>>>>>>>>>> http://www.giftpay7.vip