Kilo 310 za bangi zateketezwa Arusha

MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Kanda ya Kaskazini imeteketeza bangi viroba vya bangi kavu 237 zikiwa na mbegu zenye uzito wa kilo 310 ambazo zilikuwa tayari kupandwa.
Akizungumza katika zoezi la kuteketeza bangi hizo dampo la Kikatiti wilayani Arumeru, mkoani Arusha, Mkuu wa oparesheni wa mamlaka hiyo Kanda ya Kaskazini, Innocent Masangula amesema bangi hizo zilikamatwa katika oparesheni maalum iliyoongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Emanuela Kaganda.
DC Kaganda amesema bangi hizo zimeteketezwa eneo hilo na katika kipindi cha Septemba gunia 90 za bangi zilikamatwa na mwezi Oktoba mwaka huu, gunia 225 na kupelekea jumla kuwa gunia 316 sanjari na kilo 310 za bangi.
“Gunia nyingine tumeziteketezwa shambani nyingine zimeteketezwa hapa,na tutaendelea na zoezi hili”
Amesema serikali imejipanga kutoa elimu juu ya madawa ya kulevya ikiwemo ulimaji wa zao mbadala ili waachane na madawa hayo
My last salary was $8,750 only worked 12 hours a week. My longtime neighbor estimated $15,000 and works about 20 hours for seven days. I can’t believe how blunt vs04 he was when
I looked up his information,
For More Details…… http://Www.Smartcash1.com
★My buddy’s mother makes $90 per hour working on the computer (Personal Computer). ( 06q) She hasn’t had a job for a long, yet this month she earned $15,500 by working just on her computer for 9 hours every day.
Click and Copy Here══════►►► http://Www.SmartCareer1.com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
Dollars earning easy job to work and earn online. start now making every day more than $500 simply working from home. i received $19517 previous month and i gave this job only 2 hrs a day online. so simple and it doesn’t required any kind of special skills. you can run Google then you can do this job.
Go here for info………. http://Www.SmartCash1.com