Kocha mpya Yanga huyu hapa!

DAR ES SALAAM; KITENDAWILI cha nani atakuwa Kocha Mkuu mpya wa timu ya Yanga ya Dar es Salaam, kimetegulies usiku huu baada ya klabu hiyo kutambulisha Pedro Gonçalves raia wa Ureno kuwa ndiye atakinoa kikosi chao.
Wasifu wake unaonesha kuwa amepata kuzinoa klabu mbalimbali, lakini pia ameinoa timu ya Taifa ya Angola, anachukua nafasi ya Romain Folz aliyetimuliwa wiki iliyopita.




My pay at least $300/day.My co-worker says me!I’m really amazed because you really help people to have ideas how to earn money. Thank you for your ideas and I hope that you’ll achieve more and receive more blessings. I admire your Website I hope you will notice me & I hope I can also win your paypal giveaway…….. https://cashprofit7.site