Kocha Poland atimuliwa baada ya mechi sita

KOCHA Fernando Santos ametimuliwa kuifundisha timu ya taifa ya Poland ikiwa ni mwaka mmoja tangu aichukue timu hiyo.

Santos alitimuliwa timu ya taifa ya Ureno mwaka jana baada ya kuwa na mwenendo usioridhisha akiwa na taifa hilo.

Kocha huyo ameiongoza Poland mechi sita tu tangu aichukue timu hiyo.

Advertisement

Imeelezwa kusuasua na matokeo yasiyoridhisha yamemuondoa kocha huyo Poland.

3 comments

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *