Kombe AFL hili hapa

RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) Patrice Motsepe amelitambulisha rasmi kombe ambalo atakabidhiwa bingwa wa michuano ya African Football League (AFL).

Motsepe ametambulisha kombe hilo mara baada ya kumaliza kuzungumza na waandishi wa habari muda mfupi uliopita Dar es Salaam.

Advertisement

Kiongozi huyo leo atashuhudia mchezo wa ufunguzi wa michuano hiyo kati ya Simba SC na Al-Ahly uwanja wa Mkapa.

pharmacy

Jumapili kutakuwa na mchezo mwingine kati ya TP Mazambe na ES Tunis uwanjani hapo.

3 comments

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *