Kutozingatia usalama wa abiria kituoni

Madereva wa daladala wakiwa wameegesha vyombo vyao ya usafiri barabarani bila kujali usalama wa abiria wao licha ya kuwepo na nafasi ya kutosha katika kituo cha Buguruni Sheli, Dar es Salaam Febrauri 3.(Picha na Venance Nestory)
Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *