Lassine Kouma ni mwananchi!

DARES SALAAM; YANGA ya Dar es Salaam imemtambulisha usiku huu kiungo wa boli kutoka Stade Malien ya Mali Lassine Kouma kuwa ni usajili mpya wa klabu hiyo msimu wa mwaka 2025/26.


DARES SALAAM; YANGA ya Dar es Salaam imemtambulisha usiku huu kiungo wa boli kutoka Stade Malien ya Mali Lassine Kouma kuwa ni usajili mpya wa klabu hiyo msimu wa mwaka 2025/26.
