Man United kumkosa Lisandro Martinez

BEKI  wa Manchester United, Lisandro Martinez atakuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu kutokana na majeraha ya mguu aliyopata mwezi Aprili.

Taarifa zinaeleza beki huyo wa Argentina alipata mshtuko katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Arsenal mapema mwezi huu, Man United imeripoti.

Advertisement

Martinez sasa anaunga na Luke Shaw, na Aaron Wan Bissaka ambao wote wameumia.

3 comments

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *