Majaliwa: Serikali inataka makubwa zaidi kwenye michezo

DAR ES SALAAM: WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imeongeza bajeti kwenye sekta ya michezo ili kuipaisha zaidi sekta hiyo huku dhamira kuu ikiwa ni kupata mafanikio makubwa zaidi.
Majaliwa ameyasema hayo leo Oktoba 4, 2023 katika hafla ya kukabidhi hundi ya Sh milioni 500 kwa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa stars ikiwa ni ahadi ya Rais Samia Suluhu Hassan baada ya timu hiyo kufuzu michuano ya Mataifa ya Afrika itakayofanyika mwakani nchini Ivory Coast ambapo kiongozi huyo amesema serikali itaendelea kuunga mkono wanamichezo nchini kote.
Amesema kwa sasa mwamko ni mkubwa katika sekta ya michezo na haishangazi kuona Tanzania ikiwa kivutio kikubwa ulimwenguni na ndio maana kwa mara ya kwanza taifa hilo linakwenda kuandika historia ya kuandaa michuano ya Mataifa ya Afrika 2027.
Aidha Waziri Mkuu amesema baada ya kukagua ukarabati unaoendelea katika dimba la Benjamini Mkapa ameridhishwa na marekebisho yanayoendelea na kuwataka wadau wa michezo nchini kuitunza miundombinu ya uwanja huo ili uendelee kuwa katika ubora wake.
Pia Majaliwa amesema timu zinazoshiriki mashindano ya kimataifa zitaendelea kupewa hamasa ya goli la Mama ili kuendelea kuipeperusha vyema bendera ya taifa.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
★ Join this most wonderful and cool online home based job and start making more than $700 every day. I made $24583 last month, (q 55q) which is incredible, and I strongly encourage you to join and begin earning money from home. Simply browse to this website now for more information.
Click and Copy Here═══►►► http://Www.SmartCareer1.com
I make $100h while I’m daring to the furthest corners of the planet. Last week I worked by my PC in Rome, Monti Carlo finally Paris… This week I’m back in the USA. All I do are basic tasks from this one cool site. see it,
Copy Here→→→→→ http://Www.Smartcash1.com
My last paycheck was 11000 dollars .I simply work daily from home 3-4 hours and earn 95 bucks for every hours detail on Here….>
https://www.pay.salary49.com
WAZEE WA KULA JICHO HUWA MNATUMIA MBOOO SIZE GANI KUINGIZA KWENYE JICHO
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg