Makonda ametamka maneno haya kwenye kaburi la JPM

GEITA; Chato. Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi na Uenezi, Paul Makonda akiwa kwenye mwendelezo wa ziara yake Kanda ya Ziwa, leo amefika nyumbani kwa aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, hayati Dk John Pombe Magufuli wilayani Chato mkoani Geita na kuzuru kwenye kaburi lake.
Makonda ameongoza sala fupi na kusema: “Magufuli nakuahidi kama unaweza kusikia, Rais Samia Suluhu Hassan amenipa nafasi, nitakuwa msema kweli, nitakuwa mwaminifu kwa taifa langu na chama changu, na wewe huko uliko uendelee kuniombea ya kwamba ile kazi njema uliyotamani ifanyike katika taifa hili chini ya jemedari na kiongozi uliyemuachia nitakuwa sehemu ya kumsaidia na kumtia moyo Rais wangu Samia.
“Na kupitia yeye naamini Taifa litanufaika zaidi, asante kwas ababu ulilipenda Taifa hili nasi tunakuahidi upendo huo, ulishatuambukiza kwetu, tutaendelea kuwa wazalendo na tutalilinda taifa hili na siku moja tukitwaliwa na sisi tukaache alama kama Magufuli ulivyoacha alama katika Taifa hili la Tanzania,” aliomba Makonda.
Making extra salary every month from house more than $15,000 just by doing simple copy and paste like online job. I have received $18,000 from this easy home job. Everybody can now makes extra cash online easily.
.
.
Details Here——————————————————>>> http://Www.BizWork1.Com
I get paid over $87 per hour working from home with (Qe)2 kids at home. I never thought I’d be able to do it but my best friend earns over 10k a month doing this and she convinced me to try. The potential with this is endless.
.
.
.
.
Here’s what I’ve been doing…> > > http://remarkableincome09.blogspot.com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com