Mali Algeria zalumbana kuhusu droni

NEW YORK : TUKIO la kudunguliwa droni ya Mali katika anga ya Algeria limezidisha mvutano kati ya mataifa haya mawili ya Kaskazini mwa Afrika, likiwa jambo lililozua malumbano makali katika mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria, Ahmed Attaf, amesema Algeria iliikabili Mali kwa maneno, akisisitiza kuwa serikali ya Mali iliyochukua madaraka kwa njia ya mapinduzi haina haki ya kuikosoa nchi yake. Kauli hiyo ilijiri baada ya waziri mkuu wa Mali, Abdoulaye Maiga, kutoa hotuba mbele ya Baraza Kuu, akituhumu Algeria kwa kuunga mkono kile alichokiita ugaidi wa kimataifa kufuatia tukio la droni. SOMA: Mkutano wa dharura DRC kufanyika Paris
Aidha, Mali imefungua kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki, hatua ambayo maafisa wa Algeria wameiita ni kitendo cha kukosa haya. Tukio hili limevuruga sana mahusiano ya kidiplomasia kati ya Mali na Algeria, likionyesha jinsi mvutano wa kijiografia na kisiasa unaweza kuathiri uhusiano wa mataifa jirani.
JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
.
This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com