Mambo shwari upigaji kura Zanzibar

ZANZIBAR : MKURUGENZI  wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Thabit Idarous Faina, amesema upigaji kura ya mapema unaendelea vizuri visiwani Zanzibar.

Akizungumza na Daily News Digital kupitia mahojiano maalumu kwa njia ya simu, Faina amesema hali ya upigaji kura huo imekuwa na mwitikio  mzuri kwa wahusika hao maeneo mbalimbali ya Unguja na Pemba.

“Siku ya leo zoezi limekwenda vizuri; vituo vya kupigia kura vimefunguliwa kwa wakati, na upigaji kura umeendelea kwa utulivu. Wananchi waliopangwa kupiga kura kwa mujibu wa sheria wamejitokeza na kutekeleza haki yao ya kupiga kura,” alisema. SOMA: Wanaopiga kura Zanzibar leo watajwa

Kuhusu maandalizi ya upigaji kura kesho amesema yamekamilika, ikiwemo vifaa vya uchaguzi na wasimamizi, ambao wamejipanga kuhakikisha  jambo hilo linafanyika kwa ufanisi .

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..

    .

    This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com

  2. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us →→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button