MAMCU yaingiza bil 207/- mauzo ya korosho

WAKULIMA wa Korosho kupitia Chama Cha Ushirika Cha Mtwara, Masasi na Nanyumbu (MAMCU) Mkoani Mtwara wameingiza shilingi bilioni 207 katika mauzo ya korosho ghafi tani 82 katika minada ya korosho inayoendelea nchini msimu 2025/2026.
Korosho hizo zimeuzwa kupitia Mfumo wa Soko la Bidhaa Tanzania (TMX) katika minada mitatu iliyofanyika kuanzia Novemba 11 katika Wilaya za Nanyumbu, Masasi na Mtwara.
SOMA: Wakulima wa korosho watakiwa kuongeza mazao
Afisa Masoko wa MAMCU, Neema Sumavere amesema hayo katika mnada wa nne wa korosho uliyofanyika katika Halmashauri ya Mtwara.

Sumavere amesema korosho hizo ziliuzwa kwa sh 2700 bei ya juu na ya chini 2310 kwa kilo. Msimu 2024/2025 bei ya korosho kwa kilo ilikuwa sh 4120, bei ya chini ikiwa ni sh 3000
Alizungumza mara baada ya mnada wa nne kufanyika, Mjumbe wa MAMCU Seleman Mshamu amesema bei ya korosho msimu 2025/26 imekuwa chini kutokana na hali ya ubora wa korosho.
Amesema wakulima wengi wanapeleka korosho maghalani zikiwa na unyevunyevu jambo ambalo linashusha ubora wa korosho sokoni na kufanya wafanyabiashara wapange bei kulingana na ubora wa korosho.




I am making a good salary from home $7580-$9065/week , which is amazing, under a year ago I was jobless in a horrible economy. I thank God every day I was blessed with these instructions, Definitely a try..
See This Link………………………………….. http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com