Matukio Morocco v Stars

MOROCCO; TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imepoteza kwa mabao 2-0 dhidi ya Morocco mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2026 usiku wa kuamkia leo kwenye Uwanja wa Honneir, Oudja, Morocco. (Picha zote kwa hisani ya TFF).


MOROCCO; TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imepoteza kwa mabao 2-0 dhidi ya Morocco mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2026 usiku wa kuamkia leo kwenye Uwanja wa Honneir, Oudja, Morocco. (Picha zote kwa hisani ya TFF).
