Mavunde kuwanoa walimu wa Sayansi Dom

MBUNGE wa Jimbo la Dodoma,  Anthony Mavunde anatarajia kuandaa mafunzo maalum kwa walimu wa Sayansi na Mafundi sanifu wa Maabara za Shule za Sekondari  Jijini Dodoma.
 Lengo la mafunzo hayo ni  kuwajengea uwezo na maarifa zaidi katika matumizi ya vifaa vya maabara.
Mavunde ameyasema  hayo katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Bunge iliyopo Kikombo,Dodoma wakati akikabidhi seti ya Televisheni na King’amuzi cha DSTV kwa ajili ya matumizi ya shule ikiwa ni utekelezaji wake wa ahadi aliyoitoa wakati wa mahafali ya Pili ya Kidato cha Sita shuleni hapo.
“ Tunawashukuru wabunge kwa mchango wao mkubwa kwenye sekta ya elimu uliowezeshwa kujengwa kwa shule hii ya wasichana ya mchepuo wa Sayansi.” Amesema na kuongeza
” Tunaishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Mh. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendeleza ujenzi wa miundombinu ya zaidi ya sh bilioni 2 katika kuiboresha shule hii.” Amesema Mavunde.
Nae, Diwani wa Kata ya Kikombo  Emmanuel Manyono,  na Diwani Viti Maalum Wendo Kutusha na Mwenyekiti wa Bodi ya Shule hiyo Fred Mushi wamemshukuru Mavunde kwa kuwajali wanafunzi na kutimiza ahadi yake kwa Shule ya Sekondari Bunge.
Akitoa taarifa ya awali,Mkuu wa Shule ya Sekondari Bunge, Salome Mkombola amesema wamejipanga vizuri kuhakikisha shule hiyo inafanya vizuri kwenye taaluma kwa kuzalisha wanasayansi wengi wa kike wenye uadilifu na nidhamu kubwa.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
6 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
MAPINDUZI YA ELIMU
MAPINDUZI YA ELIMU
1 month ago

WAZO JADIDIFU UKIONA WEKAZO HAWAFANYI KAZI KAMA RAIS WA TANZANIA (HAFANYI KAZI VIZURI KABISA) NA UNATAKIWA UPINDUE NCHI UTATUMIA CHOMBO GANI CHA HABARI… MAPINDUZI YA KIJESHI MATHARANI
·        THE GUARDIAN,
·         THE CITIZEN,
·         MWANANCHI,
·         DAILY NEWS,
·        NIPASHE,
·        TBC TAIFA,
·         RFA,
·        RADIO ONE,
·        CLOUDS FM,
·        TBC1,
·        ITV, NA
·        AZAM TV.

zurdeherdi
zurdeherdi
Reply to  MAPINDUZI YA ELIMU
1 month ago

About 1.3% of women in the United States will be diagnosed with ovarian cancer in her lifetime.2 Although this is much lower than the lifetime risk for developing breast cancer,3 there is no recommended test to screen for ovarian cancer, so unlike breast cancer, ovarian cancer is rarely diagnosed early. When ovarian cancer is found early, a woman has nearly a 93% chance of surviving at least 5 years after she is
.
.
diagnosed____ https://Fastinccome.blogspot.Com/

MAPINDUZI YA ELIMU
MAPINDUZI YA ELIMU
1 month ago

WAZO JADIDIFU UKIONA WEKAZO HAWAFANYI KAZI KAMA RAIS WA TANZANIA (HAFANYI KAZI VIZURI KABISA) NA UNATAKIWA UPINDUE NCHI UTATUMIA CHOMBO GANI CHA HABARI… MAPINDUZI YA KIJESHI MATHARANI
·        THE GUARDIAN,
·         THE CITIZEN,
·         MWANANCHI,
·         DAILY NEWS,
·        NIPASHE,
·        TBC TAIFA,
·         RFA,
·        RADIO ONE,
·        CLOUDS FM,
·        TBC1,
·        ITV, NA
·        AZAM TV.

MAPINDUZI.GIF
Najma
Najma
1 month ago

huyu demu aliyecheza na diamond JEJE MZURI SANA ANAPATIKANA MKOA GANI ANATAFUTWA… TUMPE MAUA YAKE ANASTAHILI KUWA NA WAJUKUU 90

OIP.jpeg
yirzoharde
yirzoharde
1 month ago

Mkoa wa Mbeya limewajulisha vijana waliotuma maombi ya kujiunga na jeshi hilo kutembelea mbao za matangazo katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya,

MAPINDUZI.GIF
yirzoharde
yirzoharde
1 month ago

Mkoa wa Mbeya limewajulisha vijana waliotuma maombi ya kujiunga na jeshi hilo kutembelea mbao za matangazo katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya

MAPINDUZI1.GIF
Back to top button
6
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x