Maziwa yakoleza sumu kwenye viuatilifu-Utafiti

WAKULIMA wametakiwa kutotumia maziwa kama huduma ya kwanza wanapoathiriwa na viuatilifu wakati wa kuvitumia katika mazao shambani au nyumbani.

Angalizo hilo linatokana na kile kilichoelezwa kuwa maziwa yanaipa nguvu sumu hiyo kushambulia seli za mwili wa mwanadamu. Mtafiti kutoka Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu nchini Tanzania (TPHPA), Dk Jones Kapeleka alisema viuatilifu vinapenda kusafiri katika sehemu zenye mafuta kwenye mwili wa mwanadamu.

Kwa kuwa maziwa yana mafuta, inakuwa rahisi kwa viuatilifu kushambulia seli za mwili kupitia katika mafuta kwenda kwenye damu. Alitoa onyo hilo hivi karibuni alipowasilisha matokeo ya utafiti wa athari za matumizi holela ya viuatilifu katika mbogamboga na matunda.

Aliyawasilisha kwenye warsha iliyoandaliwa na Mtandao wa Vikundi vya Wakulima na Wafugaji Mkoa wa Arusha (MVIWAARUSHA), IDP na GAIN kuhusu Mifumo Endelevu ya Chakula kuanzia shambani hadi chakula kinafika mezani.

Dk Kapeleka alisema wakulima wanapoathiriwa na sumu hiyo, kitu cha kwanza wanatakiwa kuwekwa katika sehemu ya wazi yenye upepo wa kutosha kisha kuchukua mkaa na kuusaga na kuuchanganya na maji na kumpa mwathiriwa anywe huku taratibu za kumpeleka hospitali zikiendelea.

“Madhara ya viuatilifu yanatofautiana, kuna ya papo kwa hapo halafu kuna madhara ya muda mrefu, madhara ya papo kwa hapo anayopata mkulima kwanza anatakiwa kuondoka katika mazingira ya viuatilifu, kama amemwagikiwa anapaswa kuoga kwa maji yanayotiririka muda huo huo,” alisema.

Alisema ikiwa mkulima ameathiriwa na kiuatilifu kupitia mdomoni au katika mfumo wa hewa, kitu cha kwanza anatakiwa kuchukuliwa haraka na kuwekwa katika sehemu ya wazi yenye upepo wa kutosha na kunyweshwa mkaa uliopondwapondwa na kukorogwa na maji.

Wakati hayo yakiendelea, utaratibu wa kumpeleka hospitali ufanyike huku chombo cha kiuatilifu kilichomdhuru kikipelekwa pia kwa daktari ili kumfanya atambue aina ya kiuatilifu na matibabu stahiki kwa haraka.

“Sumu za viuatilifu haziondolewi kwa kunywa maziwa kama ilivyozoeleka kwa mtu aliyeathiriwa na dawa, mwathiriwa anatakiwa akorogewe mkaa na apewe anywe lakini si maziwa,” aliongeza.

Alisema kwa watu wanaotumia viuatilifu katika sehemu mbalimbali wanapomaliza kunyunyiza hata kama hawakuathiriwa, wasipendelee kunywa maziwa badala yake wanywe maji kwa sababu ikiwa kuna kiuatilifu kilichojipenyeza mdomoni maziwa yatahatarisha maisha yake.

Habari Zifananazo

39 Comments

  1. I just like the helpful information you provide to your articles. I will bookmark your weblog and take a look at once more here frequently. I am slightly sure I will be informed lots of new stuff proper right here! Good luck for the following!

  2. Thanks for another informative site. The place else may I am getting that type of information written in such an ideal means? I have a project that I’m simply now running on, and I have been at the glance out for such info.

  3. This is really interesting, You’re a very skilled blogger. I have joined your feed and look forward to seeking more of your wonderful post. Also, I’ve shared your web site in my social networks!

  4. Greate pieces. Keep writing such kind of info on your page.
    Im really impressed by your site.
    Hey there, You’ve performed a great job.

    I’ll definitely digg it and personally suggest to my friends.
    I’m sure they will be benefited from this site.

  5. Greetings! This is my 1st comment here so I just wanted to give a quick shout out and tell you I really enjoy reading through your articles. Can you suggest any other blogs/websites/forums that deal with the same subjects? Thanks!

  6. obviously like your website but you have to take a look at the spelling on several of your posts. A number of them are rife with spelling problems and I to find it very bothersome to tell the reality then again I’ll definitely come back again.

  7. Good day! I could have sworn I’ve been to this blog before but after checking through some of the post I realized it’s new to me. Anyways, I’m definitely happy I found it and I’ll be book-marking and checking back frequently!

  8. I’m not sure exactly why but this website is loading incredibly slow for me. Is anyone else having this problem or is it a issue on my end? I’ll check back later on and see if the problem still exists.

  9. I used to be suggested this website by means of my cousin. I’m not positive whether or not this publish is written by means of him as no one else realize such precise approximately my problem. You are incredible! Thanks!

  10. Hey there are using WordPress for your site platform? I’m new to the blog world but I’m trying to get started and set up my own. Do you need any html coding knowledge to make your own blog? Any help would be really appreciated!

  11. Hello there, You’ve done a fantastic job. I’ll definitely digg it and individually recommend to my friends. I am sure they will be benefited from this web site.

  12. Hi my family member! I wish to say that this article is awesome, great written and come with approximately all significant infos. I would like to peer extra posts like this .

  13. Heya i’m for the first time here. I found this board and I find It really useful & it helped me out much. I hope to give something back and help others like you helped me.

  14. I do believe all of the ideas you have offered in your post. They are very convincing and can definitely work. Nonetheless, the posts are too quick for beginners. May you please extend them a bit from next time? Thanks for the post.

  15. I’m extremely impressed with your writing skills as well as with the layout on your weblog. Is this a paid theme or did you modify it yourself? Either way keep up the nice quality writing, it is rare to see a nice blog like this one these days.

  16. We stumbled over here different website and thought I should check things out. I like what I see so now i’m following you. Look forward to looking into your web page for a second time.

  17. I’m really loving the theme/design of your blog. Do you ever run into any internet browser compatibility issues? A number of my blog readers have complained about my site not operating correctly in Explorer but looks great in Chrome. Do you have any solutions to help fix this issue?

  18. Hello just wanted to give you a quick heads up. The words in your post seem to be running off the screen in Chrome. I’m not sure if this is a format issue or something to do with internet browser compatibility but I figured I’d post to let you know. The design and style look great though! Hope you get the problem solved soon. Thanks

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button