Ndege Aahidi Bunge la Maendeleo

MGOMBEA wa nafasi ya uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Democratic Party (DP), Chrisant Ndege ameahidi kuligeuza Bunge hilo kuwa la maendeleo kwa kufanya kazi inayotokana na bajeti zitakazowasilishwa bungeni na Serikali ambayo malengo yake ni kuwaletea wananchi maendeleo. SOMA: Rais Samia Awateua Wabunge Sita

Ameyasema hayo bungeni Dodoma leo wakati akiomba kura kwa wabunge za kumchagua kuwa Spika. Pia ameahidi endapo atachaguliwa kuwa spika atalisimamia Bunge kuhakikisha miswada yote ya sheria inayowasilishwa bungeni kupitishwa kuwa sheria inazingatia maadili ya kitanzania na si vinginevyo.

 

Habari Zifananazo

13 Comments

  1. Yohana 11:25 inasema, “Mimi ndimi ufufuo na uzima. Aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi.”

  2. Kila kitu kina majira yake, kila jambo duniani lina wakati wake: Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa;

  3. Zaburi 34:18 BHN

    Mwenyezi-Mungu yu karibu na waliokufa moyo; huwaokoa wote waliokata tamaa kabisa.

  4. Ufunuo 21:4 BHN

    Yeye atayafuta machozi yao yote; maana kifo hakitakuwako tena, wala uchungu, wala kilio, wala maumivu; maana ile hali ya kale imepita!”

  5. Zaburi 23:4 BHN

    Nijapopita katika bonde la giza kuu la kifo, sitaogopa hatari yoyote, maana wewe ee Mwenyezi-Mungu u pamoja nami; gongo lako na fimbo yako vyanilinda.

  6. Warumi 8:38-39 SRUV

    Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba, wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo, wala wenye uwezo, wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu.

  7. Zaburi 18:2 BHN

    Mwenyezi-Mungu ni mwamba wangu, ngome yangu na mkombozi wangu; Mungu wangu, mwamba wangu ninayemkimbilia usalama; ngao yangu, nguvu za wokovu wangu na ngome yangu.

  8. Yohana 14:27 SRUV

    Amani nawaachieni; amani yangu nawapa; niwapavyo mimi sivyo kama ulimwengu utoavyo. Msifadhaike mioyoni mwenu, wala msiwe na woga.

  9. Isaya 43:2 BHN

    Mkipita katika mafuriko, mimi nitakuwa pamoja nanyi; mkipita katika mito, haitawashinda nguvu. Mkitembea katika moto, hamtaunguzwa; mwali wa moto hautawaunguza.

  10. Yohana 11:25-26 SRUV

    Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, hata akifa, atakuwa anaishi; naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo?

  11. 1 Petro 5:7 SRUV

    Huku mkimtwika yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye hujishughulisha sana kwa mambo yenu.

  12. Nowadays earning money online is very easy . Eanrs every month online more than $17k by doing very easy home based job in part time u can also do this simple online Job by visiting websiteMore Details For Us→→ http://www.job40.media

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button