Mkandarasi Kariakoo atakiwa kuharakisha

DAR ES SALAAM: MKANDARASI anayekarabati soko la Kariakoo Estim Construction Limited
ametakiwa kuongeza kasi ya kukamilisha mradi huo ili taratibu za kuwarejesha
wafanyabiashara zikamilishwe.

Kauli hiyo imetolewa leo Oktoba 31, 2023 na Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulikia Miundombinu , Mhandisi Rogatius Mativila mara baada ya kutembelea na kukagua utekelezaji wa mradi huo uliofikia asilimia 91.

“ Mradi wa ukarabati na ujenzi wa soko la Kariakoo hadi sasa umefikia asilimia 91 na utakamilika hivi karibuni ambapo tunategemea zaidi ya wafanyabiashara 3,500 wapate nafasi za kufanya biashara katika mazingira ya kisasa.

Amesema, serikali inataka kuona mkandarasi akiongeza kasi katika ukarabati wa soko hilo unaogharimu Sh bilioni 28.3 ili shughuli za kiuchumi ziweze kuendelea sokoni hapo.

Kwa upande wake Kaimu Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo Sigsibert Valentine amesema maandalizi ya taratibu za kuwerejesha wafanyabiashara sokoni yanaendelea na utakuwa ni wa uwazi.

Mradi huo unatekelezwa kufuatia janga la moto lililotolea Julai 10, 2021 ambapo serikali imetoa Sh bilioni 28.03 kufanikisha ujenzi na ukarabati ulioanza Januari 2022 na ulitarajiwa kukamilika Oktoba mwaka huu,

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
7 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Angila
Angila
1 month ago

Start your home business right now. Spend more time with your family and earn. Start bringing 99Dollars per hr just on a computer.(Qa) Very easy way to make your life happy and earning continuously…
.
.
.
This is where i started…>> http://remarkableincome09.blogspot.com

Monica Uribe
Monica Uribe
Reply to  Angila
1 month ago

I am making over $30k a month working part time. I am a full time college student and just working for 3 to 4 hrs a day. Everybody must try this home online job now by just use this Following Website

More infor…. http://Www.Smartwork1.Com

Thelmaoehler
Thelmaoehler
Reply to  Angila
1 month ago

d

Yvonneearn
Yvonneearn
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by Yvonneearn
Ulikuwa na PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU YA PA
Ulikuwa na PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU YA PA
1 month ago

Barua ya wazi kwa RAIS WA UJERUMANI Frank-Walter Steinmeier 

Mabaki miili ya Watanzania kurudishwa nchini

 
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
 

Mashujaa wa kuhamisha Makao makuu ya Tanzania pale  Dodoma hoyeeeeee…

HAPA KAZI TU NA KAZI ZOTE HIZO IENDELEE SIO KAZI KWELI AU TUMEENDELEA SANA

Capture.JPG
Ulikuwa na PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU YA PA
Ulikuwa na PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU YA PA
1 month ago

Barua ya wazi kwa RAIS WA UJERUMANI Frank-Walter Steinmeier 

Mabaki miili ya Watanzania kurudishwa nchini

 
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
 

Mashujaa wa kuhamisha Makao makuu ya Tanzania pale  Dodoma hoyeeeeee…

HAPA KAZI TU NA KAZI ZOTE HIZO IENDELEE SIO KAZI KWELI AU TUMEENDELEA SANA..

Capture.JPG
Julia
Julia
1 month ago

I have just received my 3rd paycheck which said that $16,285 that i have made just in one month by working online over my laptop. This job is amazing and its regular earnings are much better than my regular office job. Join this job now and start making money online easily by just use this link.
.
.
Detail Here———————————————->>>  http://Www.BizWork1.Com

Back to top button
7
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x