Msonde afundisha wanafunzi, kupima KPI

TABORA: NAIBU Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais TAMISEMI (Elimu), Dkt. Charles Msonde ameingia darasa na kuwafundisha somo la Hisabati wanafunzi wa darasa la saba katika shule ya Msingi Ulaya iliyopo katika halmashauri ya wilaya Igunga Mkoani Tabora.
Msonde amefundisha somo hilo leo Agosti 29, 2023, baada ya kufanya ziara katika shule hiyo na kukagua hali ya utoaji wa elimu mashuleni na kukagua utekeleza wa vigezo vya kuboresha elimu nchini (KPI).
Aidha, Dkt. Msonde alitaka kujihakikishia utayari wa wanafunzi hao wa darasa la saba wanaotarajia kufanya mtiani wa kuhutimu elimu ya msingi mwezi Septemba 2023.
Property in Kinondoni for rent & sale ▷ Real Estate price in August 2023 on Jiji.co.tz
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://earncash82.blogspot.com/
ghhhhhhf
Property in Kinondoni for rent & sale ▷ Real Estate price in August 2023 on Jiji.co.tz
I am making $162/hour telecommuting. U22 I never imagined that it was honest to goodness yet my closest companion is earning $21 thousand a month by working on the web, that was truly shocking for me,she prescribed me to attempt it simply,
Copy And Open This Site————->> http://www.SmartCash1.com