Msonde afundisha wanafunzi, kupima KPI

TABORA: NAIBU  Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais TAMISEMI (Elimu), Dkt. Charles Msonde ameingia darasa na kuwafundisha somo la Hisabati wanafunzi wa darasa la saba katika shule ya Msingi Ulaya iliyopo katika halmashauri ya wilaya Igunga Mkoani Tabora.

Msonde amefundisha somo hilo leo Agosti 29,  2023,  baada ya kufanya ziara katika shule hiyo na  kukagua hali ya utoaji wa elimu mashuleni na kukagua utekeleza wa vigezo vya kuboresha elimu nchini (KPI).

Aidha, Dkt. Msonde alitaka kujihakikishia utayari wa wanafunzi hao wa darasa la saba wanaotarajia kufanya mtiani wa kuhutimu elimu ya msingi mwezi Septemba 2023.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Maryhorton
Maryhorton
Reply to  mapesa123
3 months ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://earncash82.blogspot.com/

Last edited 3 months ago by Maryhorton
IsidoraEdie
IsidoraEdie
3 months ago

I am making $162/hour telecommuting. U22 I never imagined that it was honest to goodness yet my closest companion is earning $21 thousand a month by working on the web, that was truly shocking for me,she prescribed me to attempt it simply,
Copy And Open This Site————->> http://www.SmartCash1.com

Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x