Mtifuano kufuzu CHAN 2025

VIWANJA saba vitakuwa kwenye patashika leo wakati nchi 14 zitakapoonesha kazi kufuzu Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani(CHAN 2025).

Mitanange hiyo ni kama ifyatavyo:

Burkina Faso vs Ivory Coast
Cameroon vs Central African Republic
Guinea-Bissau vs Guinea
Nigeria vs Ghana
Rwanda vs South Sudan
Angola vs Lesotho
Senegal vs Liberia

Advertisement