Mwanaume aliyefariki miaka 128 iliyopita hatimaye kuzikwa

READING, Marekani: Mwanaume mmoja aliyefariki miaka 128 iliyopita na mwili wake kusalia katika jumba la huduma ya mazishi huko Reading, Pennsylvania nchini Marekani atazikwa wiki hii, ishara ya kuhitimisha safari yake hapa duniani.
Mwanaume huyo ambaye alipachikwa jina la Stoneman Willie alifariki gerezani Novemba 19, 1895 baada ya figo kushindwa kufanya kazi kutokana na kile kilichotajwa kuwa ulevi uliokithiri.
Kwa bahati mbaya alikaushwa na daktari aliyekuwa akijaribu njia mpya ya kuhifadhi mwili, watoa huduma ya mazishi, Auman walisema.
Willie ameonekana kwenye jeneza akiwa amevalishwa suti na tai na mkanda mwekundu kifuani. Nywele na meno yake yamebakia sawia huku sura ikichukua muonekano wa ngozi.
Willie hakuweza kutambuliwa na ndugu, jamaa na marafiki kwa kuwa alitumia jina la uongo wakati alipo kamatwa. Maafisa wa eneo hilo walikata tamaa ya kutafuta jamaa zake.
Taasisi hiyo inayojihusisha na utoaji huduma ya mazishi iliiomba serikali iwaruhusu kuuhifadhi mwili huo badala ya kuuzika ili kupata matokeo ya jaribio la daktari kuhusu uhifadhi wa maiti.
Auman imesema baada ya miaka kadhaa imefanikiwa kumtambua Stoneman Willie kwa kutumia nyaraka za kihistoria na itataja jina lake baadaye wiki hii wakati wa mazishi.
Hadi sasa, hakuna mengi yanayojulikana juu yake zaidi ya mizizi yake ya Kiayalandi.
“Hatumrejelei kama mummy. Tunamtaja kama rafiki yetu Willie,” alisema Kyle Blankenbiller, mkurugenzi wa mazishi. “Amekuwa picha kama hii, sehemu ya hadithi sio tu ya zamani ya Reading lakini hata ya sasa.”
Kabla ya mazishi, jiji la Reading litamkumbuka mtu ambaye amekuwa sehemu ya ngano za jiji hilo kwa vizazi.
Siku ya Jumapili, wakaazi wa eneo hilo walifurika barabarani kusherehekea kumbukumbu ya miaka 275 ya Reading kwa gwaride la kupendeza lililojumuisha gari la kubeba maiti likibeba jeneza la Willie.
Wiki hii yote, Willie ataonyeshwa kwenye Nyumba ya Mazishi ya Auman. Siku ya Jumamosi, atafanya safari yake ya mwisho katika mitaa ya Reading na atazikwa kwenye makaburi ya eneo hilo, ambapo jina lake halisi litaandikwa kwenye jiwe lake la kaburi.
Conference ya wapi Wataelewa:-
· Hospitali (wapeni ugonjwa waumwe wakajadiliane)
· Mama ntilie (wape njaa wakale)
· Hotelini (tengeneza events tualike)
· Kwenye Basi (wape hela tusafiri)
· Nyumbani (mpe hele ajenge)
· Msibani (hakikisheni wanakufa na wawe na mahusiano mema)
· Kijiwe cha kahawa (wape hela waje kunywa kahawa)
· Jeshini (itisha mafunzo maalumu)
· Darasani (anzisheni elimu ya watu wazima)
Umelogwa eti?
Cash generating easy and fast method to work part time and earn an extra $15,000 or even more than this online. By working in my spare time I made $17990 in my previous month and I am very happy now because of this job. you can try this now by following
the details here…… http://Www.Smartcash1.com
I get paid over (250$ to 550$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $35,000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following Link
http://Www.Smartwork1.com
Conference ya wapi Wataelewa:-
· Hospitali (wapeni ugonjwa waumwe wakajadiliane)
· Mama ntilie (wape njaa wakale)
· Hotelini (tengeneza events tualike)
· Kwenye Basi (wape hela tusafiri)
· Nyumbani (mpe hele ajenge)
· Msibani (hakikisheni wanakufa na wawe na mahusiano mema)
· Kijiwe cha kahawa (wape hela waje kunywa kahawa)
· Jeshini (itisha mafunzo maalumu)
· Darasani (anzisheni elimu ya watu wazima)
Umelogwa eti?…
WIZARA YA NDOTO
HOTUBA YA WIZARA YA NDOTO
ULIMWENGU WA NDOTO
One. DEREVA BODABODA ANA NDOTO YA KUMILIKI KAMPUNI YA NDEGE
Two. MUUZA MBOGAMBOGA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA MBOGA MBOGA
Three. MUUZA VITUNGUU SUMU ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA VITUNGUU SUMU
Four. MUUZA NYANYA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NYANYA
Five. MUUZA MAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NDEGE
Six. MUUZA BAR ANA NDOTO YA KUMILIKI KUJENGA BAR
Seven. MUUZA FREMU ANA NDOTO YA KUMILIKI SHOPPING MALLS
Eight. MGANGA WA KIENYEJI ANA NDOTO YA KUMILIKI HOSPITALI
Nine. MPIGA DEBE ANA NDOTO ZA KUMILIKI KAMPUNI YA MABASI
Ten. MAMA NTILIE ANA NDOTO YA KUMILIKI HOTELS
Eleven. MCHEKESHAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION
Twelve. MTANGAZAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION
Upo sahihi “tukasomeeeeeee tueleweeeeeee Saaaana
Fursa BABA YETU ULIE MBINGUNI NA BWANA YESU ASIFIWE – IMPORT WATU FROM US TO TZ……..
UKIKUTANA NA MZUNGU AKUPE BRIEFCASE YA HELA UTEKELEZE VYOTE MWENYEWE
Kuwa mtanzania wa Kwanza kumiliki MAVAZI YA KUELEKEA SAYARI YA MWEZINI 2023 KWA GHARAMA YA SHILINGI 1 TU YA KITANZANIA – KUNA BARAFU SANA
Kuwa mtanzania wa Kwanza kumiliki MAVAZI YA KUELEKEA SAYARI YA MWEZINI 2023 KWA GHARAMA YA SHILINGI 1 TU YA KITANZANIA – KUNA BARAFU SANA..