Mwenyekiti UVCCM Arusha achangia ujenzi nyumba ya katibu

MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana (UVCCM) Mkoa wa Arusha, Simon Maxmillian ametoa Sh milioni 1  kwa ajili ya kumalizia ujenzi wa nyumba ya katibu  wa umoja huo.

Fedha hizo zimetolewa leo  wilayani Longido mkoani Arusha katika ziara ya kamati ya utekelezaji mkoa.

Katika ziara hiyo amefanya mkutano wa hadhara  kwa wananchi wa kata ya Noondoto na kueleza mafanikio yanayofanywa na Rais Samia Hassan Suluhu katika kipindi cha miaka minne.

 

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button