Mwigizaji Gambon afariki dunia

MWIGIZAJI Michael Gambon kutoka Uingereza amefariki dunia akiwa hospitalini, taarifa ya familia imeeleza.

Gambon,82, filamu kadhaa za Harry Potter.

Gambon alianza kazi yake ya uigizaji zaidi ya miaka 60 iliyopita, na alikuwa mmoja wa washiriki wa awali wa ukumbi wa kitaifa wa Royal pamoja na Laurence Olivier.

Alicheza pia kama mpelelezi wa Ufaransa Jules Maigret katika kipindi cha Maigret cha ITV, na vile vile akiigiza katika safu ya BBC, The Singing Detective.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
MarissaCorcoran
MarissaCorcoran
2 months ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 2 months ago by MarissaCorcoran
GloriaGale
GloriaGale
2 months ago

The first check I got was for $13,000. I feel so inspired even though I haven’t really made much progress up till now. I’m looking forward to the episode of the next week with anticipation now that I know I need to work harder.
.
.
Detail Here————————————————————>>>  http://Www.BizWork1.Com

money
money
2 months ago

Mashindano ya nani kuhinda kwenye neno “ABROAD“ NCHINI TANZANIA!?

MJERUMANI

MHINDI

MTANZANIA

MKENYA

MNIGERIA

MHISPANIA

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg

NANI AINGIZE NDEGE ZA KWENDA KUMSALIMIA BABU NA BIBI, KWA ALIYESHINDA KULELEWA NA BIBI TU!?

Capture.JPG
Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x