Waislamu wasaidieni wenye uhitaji

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amewahimiza waumini wa dini ya Kiislamu kuwasaidia watu wasiojiweza hususan katika kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ili kutimiza ibada ya funga kwa moyo wa huruma.
Rais Mwinyi ameyasema hayo leo Februari 27, 2026, aliposhiriki Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Fatma Bint Mirdas Mosque, Kilimani, Mkoa wa Mjini Magharibi. Amesema ndani ya jamii kuna watu masikini, wajane, mayatima na wenye ulemavu ambao wanastahili msaada zaidi katika kipindi hiki cha mfungo.
Aidha amewaagiza wafanyabiashara kuepuka kupandisha bei za bidhaa za vyakula akibainisha kuwa Ramadhani si wakati wa kutafuta faida kubwa bali wa kuhurumiana na kusaidiana. Amesema kuwa ni busara kwa wafanyabiashara kushusha au kuacha za kawaida badala ya kupandisha bei ili wananchi wote waweze kumudu kununua mahitaji ya futari. SOMA: Maoni:Tunawatakia Ramadhani njema Waislamu




I get paid over $220 per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. the potential with this is endless…,
This is what I do….. http://www.giftpay7.vip
I get paid over (90$ to 200$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $18000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
.
HERE——————————————⊃⫸ https://Www.Cash54.Com
I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website…
.
More Details For Us→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com