Mzize atwaa Tuzo ya Goli Bora la Mwaka CAF

MOROCCO; MSHAMBULIAJI wa Yanga ya Dar es Salaam, Clement Mzize ametwaa Tuzo ya Goli Bora la Mwaka inayotolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) katika hafla iliyofanyika nchini Morocco usiku huu.

 

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button