Ngumi za kisultani kupigwa safari ya beach
DAR ES SALAAM: Bondia Sultani Kiyoko ametamba kumtwanga Fransic Nampumula wa Mbagala kwenye pambano la safari ya Beach linarotarajiwa kupigwa Oktoba 22, 2023, Rongoni Beach Kigamboni Jijini Dar es salaam.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, wakati akiendelea na maandalizi Bondia Sultan Kiyoko amesema mazoezi anayofanya ni zaidi ya kucheza raundi sita.
“Nitakachofanya ni zaidi ya kucheza raundi sita walizo saini hivyo mpinzani afanye mazoezi ya kutosha ya kupokea kipigo cha aina yake siku hiyo.”amesema Bondia Kiyoko
Saidi Omar ni mdau wa masumbwi ambaye ni shabiki wa Kiyoko amesema “damu zitamwagika ulingoni kwa mpinzani wao baada ya kupokea kichapo kitakacho pelekea kutotamani kucheza ngumi maisha yake yote.”amesema.
I’ve earned $64,000 USD so far this year while studying full-time. I’m making a lot of money using an online business opportunity I learned about. It’s quite user-friendly, and I’m overjoyed that I discovered it.
.
.
Detail Here——————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
WAZEE WA KULA JICHO HUWA MNATUMIA MBOOO SIZE GANI KUINGIZA KWENYE JICHO
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
I make up to $90 an hour working from my home. My story is that I quit working at Walmart to work online and with a little effort I easily bring in around $40h to $86h… Someone was good to me by sharing this link with me, so now i am hoping i could help someone else out there by sharing this link…
Try it, you won’t regret it!….. http://Www.Smartcash1.com