Odinga bingwa wa demokrasia -Obama

KENYA: Rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama amempongeza kiongozi wa muda mrefu wa upinzani nchini Kenya na Waziri Mkuu wa zamani, Raila Odinga, akimtaja kama “bingwa wa kweli wa demokrasia” ishara thabiti na maridhiano kwa siasa za Afrika.

Raila Odinga alifariki dunia Oktoba 15, nchini India ambako alikuwa akipatiwa matibabu.

Katika taarifa yake mtandao wa X, Obama alisifu harakati za miongo kadhaa za Odinga za kupigania uhuru, haki na utawala bora nchini Kenya.

“Raila Odinga alikuwa mtetezi wa kweli wa demokrasia. Mtoto wa uhuru, alivumilia miongo mingi ya mapambano na kujitolea kwa ajili ya kazi pana ya uhuru na kujitawala nchini Kenya,” Obama alisema.

Mwili wa Odinga utazikwa kesho Oktoba 19, 2025, katika shamba lake la Opoda, Kaunti ya Siaya.

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. I’m making over $25,000 a month working part-time. I kept hearing other people talk about how much money they were making online, so I decided to look into it. Well, it’s all true and has completely changed my life. This is what I do. Check it out by visiting the following link:

    COPY THIS →→→→ http://Www.Work99.Site

  2. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→ http://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button