Pulisic aula Milan

MSHAMBULIAJI Christian Pulisic amekamilisha uhamisho wake wa kujiunga na AC Milan akitokea Chelsea.

Milan watalipa ada kiasi cha €20M.

Mmarekani huyo atasaini mkataba wa miaka minne hadi Juni 2027.

Atapokea €4M kwa mwaka.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button