Pulisic aula Milan

MSHAMBULIAJI Christian Pulisic amekamilisha uhamisho wake wa kujiunga na AC Milan akitokea Chelsea.
Milan watalipa ada kiasi cha €20M.
Mmarekani huyo atasaini mkataba wa miaka minne hadi Juni 2027.
Atapokea €4M kwa mwaka.

MSHAMBULIAJI Christian Pulisic amekamilisha uhamisho wake wa kujiunga na AC Milan akitokea Chelsea.
Milan watalipa ada kiasi cha €20M.
Mmarekani huyo atasaini mkataba wa miaka minne hadi Juni 2027.
Atapokea €4M kwa mwaka.