Rais Samia alivyopokelewa na watumishi Ikulu

DODOMA; Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan akipokelewa na watumishi wa Ofisi ya Rais, Ikulu alipowasili Ikulu ya Chamwino, Dodoma mara baada ya kuapishwa.


DODOMA; Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan akipokelewa na watumishi wa Ofisi ya Rais, Ikulu alipowasili Ikulu ya Chamwino, Dodoma mara baada ya kuapishwa.
