Rais Samia ataka nidhamu kwa watumishi wa Umma

MANYARA: Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Watumishi wa Umma kuwa na nidhamu katika utendaji kazi wao kwa Wananchi ili kuondokana na Malalamiko yanayojitokeza mara kwa mara katika Taasisi mbalimbali.
Rais, Samia ameyasema hayo leo Oktoba 14 katika kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2023 zilizofanyikia katika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo katika mji wa Babati mkoani Manyara.
“kumekuwa na malalamiko ya Wananchi kuhusu matumizi ya lugha chafu, kucheleweshwa kwa huduma au kudaiwa rushwa na hili ninawataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya mlibebe ipasavyo maana huko chini ndio kwenye shida kubwa” amesema Rais Samia.
Aidha Rais Samia ametoa wito kwa vijana kuchangamkia fursa ya kilimo biashara, kilimo cha umwagiliaji ili kupunguza tatizo la ajira nchini
Kwa upande wake Makamu wa Rais Dk Philip Mpango amesema kuwa jitihada za makusudi za utunzaji wa mazingira zinahitajika ili kulinda na kutunza mazingira kwa vizazi vijavyo.
Akiwakilisha salamu za Mkoa Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga amesema zaidi ya Sh bilioni 535.7 zimetolewa na serikali kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya maji,barabara Elimu pamoja Afya.
Mwenge wa uhuru kwa mwaka 2024 utazinduliwa mkoani Kilimanjaro na kilele cha mbio hizo pamoja na wiki ya vijana itafanyika mkoani Mwanza.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
Google pay 390$ reliably my last paycheck was $55000 working 10 hours out of consistently on the web. (ha)My increasingly youthful kinfolk mate has been averaging 20k all through continuous months and he works around 24 hours reliably. I can’t trust how direct it was once I attempted it out. This is my essential concern…:) GOOD LUCK
For more info visit……… >>> http://usasuperwork.blogspot.com
Working on the web pays me more than $260 per hour. I learned about this activity 3 months ago, and since then I have earned around $20,000 without having any online working skills.
.
.
Detail Here——————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com
I’ve earned $64,000 USD so far this year while studying full-time. I’m making a lot of money using an internet business opportunity I learned about. It’s quite user-friendly, and I’m overjoyed that I discovered it.
.
.
Detail Here————————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com