Rais Samia kufungua kikao cha 77 haki za Binadamu

ARUSHA: RAIS, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufungua kikao cha 77 cha Kamisheni ya Afrika ya Haki za Binadamu kitakachofanyika Oktoba 20 hadi Novemba 9 ,mwaka huu Jijini Arusha.

Akizungumza katika kikao cha Mawaziri cha Kujadili Maandalizi ya Kikao hicho Jijini  Arusha Waziri wa Katiba na Sheria,Balozi Dk,Pindi Chana amesema maandalizi  yanakwenda vizuri na  wageni zaidi ya 700 kutoka mataifa mbalimbali watashiriki.

Balozi Chana amesema mbali na kujadili masuala ya msingi yanayohusu haki za binadamu lakini pia  watapata fursa ya kuitangaza nchi kwa mataifa mbalimbali juu ya utajiri na rasilimali zilizopo nchini.

Amesema masuala mbalimbali yatajadiliwa ikiwemo maadhinisho ya siku ya haki za binadamu kwa kuzingatia,taarifa kuhusu hali ya haki za binadamu Barani Afrika,uzinduzi wa nyaraka mbalimbali za kamisheni ya Afrika ya Haki za Binadamu,taarifa ya wanaharakati wa haki za binadamu,kuidhinishwa kwa itifaki ya mkataba wa Afrika wa Ulinzi wa Jamii.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
NellieDoris
NellieDoris
1 month ago

★They pay me $285 per hour to work on a laptop. ( q88q) I had no clue it was possible, but a close friend made $26,000 in four weeks working on this simple offer, and she convinced me to try it. For further information, please see.
Click and Copy Here══════►►► http://Www.SmartCareer1.com

Work At Home
Work At Home
1 month ago

Earn money in USA, high scores from trusted resources. Work at your own pace. Regular Payments. Search in different job categories. Work anywhere on your vs03 computer, laptop or mobile phone. Update your profile at any time.
.
.
Detail Here———->>> http://Www.Smartcash1.com

KariTeter
KariTeter
1 month ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://careerstars12.blogspot.com

Last edited 1 month ago by KariTeter
Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x