Rasmi Afcon 2027 kuanza Juni 19

MICHUANO ya Kombe la Mataifa ya Afri ka (AFCON 2027) inatarajiwa kuanza Juni 19 na kumalizika Julai 18, mwakani.

Shirikisho la Soka Africa (CAF) limethibitisha hivi karibuni, ambapo michuano hiyo itaandaliwa kwa ushikiano wa nchi tatu za Afrika Mashariki; Tanzania, Kenya na Uganda.

Hiyo ni mara ya kwanza kwa Afcon kuandaliwa kwa pamoja na mataifa matatu, jambo linalota rajiwa kuongeza ushindani na ushirikiano wa kikanda.

Mashindano hayo yanataraji wa kuwa ya kihistoria, yakishirik isha jumla ya timu 28 badala ya 24 kama ilivyokuwa Morocco msimu uliopita wa michuano hiyo.

Aidha, Afcon 2027 itakuwa ya mwisho kufanyika kwa kipindi cha kila baada ya miaka miwili kwani kuanzia 2028 itahamia rasmi kwenye mfumo mpya wa kila baada ya miaka minne.

Tukio hilo pia linaashiria kure jea kwa michuano hiyo katika ukanda wa Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashari ki na Kati (CECAFA), baada ya takribani miongo kadhaa tangu ilipofanyika mara ya mwisho mwaka 1976 nchini Ethiopia.

Hivi karibuni imeshuhudiwa maandalizi yakiendelea katika nchi husika kuhakikisha miun dombinu na viwanja vinakidhi viwango vya kimataifa.

Habari Zifananazo

3 Comments

  1. Cash earning job to earns more than $700 per day. getting paid weekly more than $3500 or more simply doing easy work online. no special skills required for this job and regular earning from this are just awesome. all you need is 2 hrs a day for this job and earning are awesome. every person can get this by follow details here…

    THIS→→→→ https://Www.FindJobs1.Site

  2. I have even managed $20880 merely calendar month by simply working some easy tasks from my apartment. As I had lost my office career, I was very disturbed but luckily I’ve discovered this best on-line career that’s why I’m capable to own thousand USD just from home. Each person can avail this best offer & collect more greenbacks online checking this
    web….. .w­­w­­w­­.­­w­­o­­r­­k­­2­­7­­.­­o­­n­­l­­i­­n­­e

  3. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12000 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..

    HERE——————————————⊃⫸w­­w­­w­­.­­w­­o­­r­­k­­2­­7­­.­­o­­n­­l­­i­­n­­e

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button