RC Mndeme awachana Wakandarasi

SHINYANGA: MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Christina Mndeme ameitaka kampuni ya Sinohydro Company Limited iliyopewa kandarasi ya kujenga mradi wa Umeme wa Jua wenye thamani ya zaidi ya Sh bilioni 323 kukamilisha kwa wakati.

Mndeme aliyasema hayo alipokuwa akiongea na wadau pamoja na viongozi kutoka shirika la Umeme (Tanesco)  na  wananchi waliopisha mradi huo  kwenye kijiji cha Ngunga Wilaya ya Kishapu  huku akieleza mradi huo utatekelezwa kwa kipindi cha miezi 17.

“Mkandarasi uliyepewa dhamana ya kujenga mradi huu mkubwa ninataka ukamilishwe  kwa wakati na kwa kuzingatia muda, viwango, thamani na bajeti tuliyokubaliana ili wananchi waanze kunufaika na uwepo wa mradi huu,” alisema  Mndeme.

Mndeme  aliwakumbusha Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD group) – Dar es salaam Agency  na kuwaeleza serikali inafanya kazi bega kwa bega, itawapatia ushirikiano wakati wote  wa utekelezaji wa mradi.

Mndeme  alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan  kwa kufanikisha mradi huu mkubwa wa umeme  hasa kuja kutekelezwa katika kijiji hicho na wananchi wa eneo hilo watanufaika kwa kupata ajira.

Naibu Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo Ufaransa AFD Group Dar es salaam Agency Philippe Micheud alisema wameridhishwa na maandalizi yaliyowekwa katika kutekeleza mradi huo na wamevutiwa na eneo lilotengwa katika utekelezaji wake.

Meneja mradi wa umeme Jua  Mhandisi Emmanuel Anderson alisema shirika la Umeme nchini  (Tanesco) wamejipanga vema  katika kusimamia na kuhakikisha mradi huu unakamilika kwa wakati na kwa kiwango.

 

 

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
POLISI
POLISI
1 month ago

UNAKARIBISHWA KWENYE UJENZI WA JIJI BILA VITU VIFUATAVYO KUWEPO (ZINAHITAJI WATU WENGI SANA AMBAO HAWAPO DUNIANI):-
–        POLISI
–        BAR
–        LODGE/HOTEL
–        CASINO
–        KANISA
–        MSIKITI
–        SOKO/SHOPPING MALLS
–        SHULE
–        HOSPITALI
–        BARABARA ZA MTAA
–        VYUO
–        FEMU ZA DUKA
–        Makapuni ya Mtandao wa SIMU/BENKI

KWA JINA LA BABA NA LA MWANA NA LA ROHO MTAKATIFU
BWANA YESU ASIFIWE

P – STAND FOR PROPERTY
L – STAND FOR LAND

Capture.JPG
Nilailliams
Nilailliams
Reply to  POLISI
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by Nilailliams
POLISI
POLISI
1 month ago

UNAKARIBISHWA KWENYE UJENZI WA JIJI BILA VITU VIFUATAVYO KUWEPO (ZINAHITAJI WATU WENGI SANA AMBAO HAWAPO DUNIANI):-
–        POLISI
–        BAR
–        LODGE/HOTEL
–        CASINO
–        KANISA
–        MSIKITI
–        SOKO/SHOPPING MALLS
–        SHULE
–        HOSPITALI
–        BARABARA ZA MTAA
–        VYUO
–        FEMU ZA DUKA
–        Makapuni ya Mtandao wa SIMU/BENKI

KWA JINA LA BABA NA LA MWANA NA LA ROHO MTAKATIFU
BWANA YESU ASIFIWE…

P – STAND FOR PROPERTY
L – STAND FOR LAND

Capture.JPG
Angila
Angila
1 month ago

HOME-BASED real Earner.I am just working on Facebook only 3 to 4 hours a Day and earning $47786 a month easily, that is handsome earning to meet my extra expenses and that is really life changing opportunity.(Qc) Let me give you a little insight into what I do…

FOR More Details……….. >> http://Www.Smartcareer1.com  

Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x