Sakata la DP World Kinana ataka utulivu
Asema, hofu, hoja zinazotolewa zitafanyiwa kazi na serikali
Vicky Kimaro, MaraJuly 26, 2023

WAKATIย hoja mbalimbali zikiendelea kutolewa kuhusu mkataba wa uendelezaji na uboreshaji wa bandari baina ya Tanzania na Dubai, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka wananchi kuwa watulivu, kwa kuwa hoja na hofu zao zinashughukiwa na serikali
Hayo yamesemwa leo jioniย Julai 26,2023ย na Makamu Mwenyekiti waย CCM Bara,ย Abdulrahman Kinana katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Mkendo, uliopo Musoma Mjini mkoani Mara.
Amesema, Rais Samia amekaa kimya kwa muda wote hajaongea chochote ni kwamba bado serikali inapokea maoni yanayotolewa na watu mbali mbali na yatafanyiwa kazi.

“Rais ambae amekula kiapo, eti atafanya jambo ambaloย halina maslahi na nchi, haiwezi kutokea. ” Amesema na kuongeza
ย ” Kama Rais tangu amechukua usukani amefanya yote aliyoyafanya akauze bandari sababu ni ipi? ili iweje? ukisikiliza mjadala wote tunaotetea, wanaopinga, wanaokosoa hakuna anaesema kusiwe na uwekezaji hata mmoja, wote wanakubali kuna haja ya kuwekeza, na lengo ni moja kuongeza ufanisi na kuongeza mapato.

“Serikali imesema hivi tunaenda kufanya uwekezaji kwa nia njema ya kuleta ufanisi, kuongeza mapato ili tuweze kufanya shughuli nyingi za maendeleo, “amesema.
Amesema, wamejitokeza watu wameanza kuhoji, wapo wanaohoji kwa nia njema ya uzalendo wapo, hawaweziย kusema kila anayehoji ana nia mbaya, wapo wanaopitia mkataba wametoa ushauri mzuri, serikali imesema hivi itapokea itapokea kila ushauri unaotolewa.
“Chama chetuย na serikali isikilize maoni na ushauri wa wananchi, inasikiliza hoja inayotolewa na inasikiliza pia hofu inayotolewa,haya yote yatafanyiwa kazi, haiwezekani Rais akapuuza yote haya.” Amesema
Amesema,ย Rais amekaa kimya tangu mjadala umeanza kwa kuwa kiongozi mzuri yanapotokea mambo ambayo kuna ubishi na mabishano, na hoja mbalimbali sio yule anaejaribu kujibu kila hoja, kiongozi mzuri ni yule aliyetulia, anachofanya Rais ni kutulia, kusikiliza kila hoja, kuchambua kila hoja, kutathimini kila hoja ili muda ukifika, upatikaneย uwekezaji uliobora zaidi kwa manufaa ya Watanzania.

Amesema, “tupo watu wengi, vyama vingi, kupiga kelele imeuzwa imeuzwa, kwa nini iuzwe, ili iwe vipi, naomba tuwe watulivu tumuamini Rais wetu. ” Amesisitiza
Kauli hiyo ya Kinana imekuja kutokana hoja mbalimbaliย ambazo zinaendelea kutolewa kuhusiana na suala la uwekezajiย wa kampuni ya DP World
๐ ๐๐ฆ ๐ฆ๐๐ค๐ข๐ง๐ ๐ซ๐๐๐ฅ๐ฅ๐ฒ ๐ ๐จ๐จ๐ ๐ฆ๐จ๐ง๐๐ฒ (๐๐$ ๐ญ๐จ ๐๐๐$ / ๐ก๐ซ. )๐จ๐ง๐ฅ๐ข๐ง๐ ๐๐ซ๐จ๐ฆ ๐ฆ๐ฒ ๐ฅ๐๐ฉ๐ญ๐จ๐ฉ. ๐ ๐ฐ๐๐ฌ ๐ ๐ซ๐๐๐ญ๐ฅ๐ฒ ๐ฌ๐ฎ๐ซ๐ฉ๐ซ๐ข๐ฌ๐๐ ๐๐ญ ๐ญ๐ก๐ ๐ฌ๐๐ฆ๐ ๐ญ๐ข๐ฆ๐ ๐๐ฌ ๐ฆ๐ฒ ๐ง๐๐ข๐ ๐ก๐๐จ๐ฎ๐ซ ๐๐๐ฏ๐ข๐ฌ๐๐ ๐ฆ๐ ๐ฌ๐ก๐ ๐๐ก๐๐ง๐ ๐๐ ๐ข๐ง๐ญ๐จ ๐๐ฏ๐๐ซ๐๐ ๐ข๐ง๐ $๐๐๐ ๐ก๐จ๐ฐ๐๐ฏ๐๐ซ ๐ ๐ฌ๐๐ ๐ญ๐ก๐ ๐ฐ๐๐ฒ ๐ข๐ญ ๐ฐ๐จ๐ซ๐ค๐ฌ ๐ง๐จ๐ฐ. ๐ฌ๐๐๐๐ ๐ ๐๐ฑ๐ฉ๐๐ซ๐ข๐๐ง๐๐ ๐ฆ๐๐ฌ๐ฌ ๐๐ซ๐๐๐๐จ๐ฆ ๐ง๐จ๐ฐ ๐ญ๐ก๐๐ญ ๐โ๐ฆ ๐ฆ๐ฒ ๐ง๐จ๐ง-๐ฉ๐ฎ๐๐ฅ๐ข๐ ๐๐จ๐ฌ๐ฌ.
๐๐ฏ๐๐ซ๐ฒ๐๐จ๐๐ฒ ๐ฌ๐ก๐จ๐ฎ๐ฅ๐ ๐ฌ๐ญ๐๐ซ๐ญ ๐๐๐ซ๐ง๐ข๐ง๐ ๐ฆ๐จ๐ง๐๐ฒ ๐จ๐ง๐ฅ๐ข๐ง๐ ๐๐ฒ
.
.
๐ฎ๐ฌ๐ข๐ง๐ ๐ญ๐ก๐ข๐ฌ ๐ฐ๐๐๐ฌ๐ข๐ญ๐____ https://Fastinccome.blogspot.Com/
My buddyโs mother-in-law gets $80 an hour on the internet. she has been without work for 12 months but last month her earnings was $16778 just working at home for a few hours per week.
.
.
check out this siteโฆโฆโฆโฆ http://www.join.salary49.com
Working part-time and making an extra $15,000 or more online is a simple and quick method to gain money. I earned $17,000 in the previous month by working in my spare time, and I am really happy now as a result of this job.
.
.
Detail Here———————————————————>>> http://Www.OnlineCash1.Com